Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Maombi ya Vyuo Vikuu Kwa Mfumo wa Mtandao 2017/2018

Maombi ya Vyuo Vikuu Kwa Mfumo wa Mtandao 2017/2018

Baada ya Serikali kuamua kila chuo kufanya udahili wake binafsi kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo ya Elimu ya Juu kwa mwaka 2017/2018, Vifuatavyo ni Vyuo ambavyo Tayari Vimekwishatengeneza  Mifumo ya Udahili na Kukaribisha Maombi. Taarifa ya TCU ilisema Mwisho wa Kupokea Maombi ni Tarehe 13/08/2017.  Ingia kwenye linki hapa chini

Asante share na wengine asante masshele Blog ipo kukuhudumia

Post a Comment

0 Comments