Header Ads Widget

Responsive Advertisement

SAIDO ASAJIKIWA SIMBA

 


Aliyekuwa mchezaji wa Yanga na Geita Gold, amesajiliwa na Simba SC, huu ni usajili wa kwanza kwa Simba tangu kufunguliwa kwa dirisha dogo la usajili. Nyota wengine kadhaa wanatakiwa kusajiliwa Simba SC, inayotaka kuimarisha kikosi chake kwaajili ya mashindano mbalimbali.

Post a Comment

0 Comments