Header Ads Widget

Responsive Advertisement

WANAWAKE KATIKA FASIHI YA KISWAHILI


Hapa tutachunguza mwanamke anavyo onekana katika kazi mbalimbali za kifasihi kama vile

Ushairi
Tamthilia
Hadithi
Riwaya
Ngomezi
Sanaa za maonyesho
Nyambi
Semi
Maombi 
Matangazo ya kibiashara n.k

tutatalii namna watunzi mbalimbali wanavyo mtazama mwanamke na majukumu wanayo mtwisha katika kazi zao.

andika makala yeyote kuhusiana na mwanamke katika kazi za fasihi kisha Nitumie 
Katika mail , info.masshele@gmail.com

Post a Comment

0 Comments