Header Ads Widget

Responsive Advertisement

UDHANILIZO NININI

Udhanilizo ni mtazamo wa kimaana katika Pragmatiki ambapo mzungumzaji huchukulia kwamba
msikilizaji anafahamu taarifa fulani za awali kuhusu jambo linalozungumzwa kabla hujamweleza
taarifa mpya. Kwa mfano;-
o Siku hizi mumeo kaacha kunywa pombe
o Leo umechelewa na wewe
o Mtoto amepiga chafya tena
o Ameacha kuvuta bangi?
Sifa za udhanilizo
 Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapokanushwa. Kwa mfano Seni ameingia darasani
au Seni hakuingia darasani
 Haubadiliki hata pale sentensi msingi inapobadilishwa.
 Unaweza kubadilika kutokana na uchopekaji, udondoshaji na hata upanguaji

Post a Comment

0 Comments