Header Ads Widget

Responsive Advertisement

Watumishi Chato watakiwa kujieleza

 



Watumishi wa halmashauri ya wilaya ya Chato wameagizwa kuandika barua ya kujieleza sababu za kutoshiriki maadhimisho ya siku ya mazingira duniani.

Maadhimisho hayo mkoani Geita yalifanyika wilayani Chato na kupelekea shughuli hiyo kuhudhuriwa na watu wachache, ukilinganisha na maandalizi yaliyofanyika.

Maagizo hayo yametolewa na kaimu mkuu wa mkoa wa Geita Saidi Nkumba wakati wa hafla iliyofanyika shule ya sekondari Chato baada ya kuona maudhurio machache.

Post a Comment

0 Comments